UNHCR: Utoaji wa vitambulisho kwa wakimbizi nchini Ethiopia waboresha maisha yao
MP3•Главная эпизода
Manage episode 424785985 series 2027789
Контент предоставлен UN Global Communications (Digital Solutions Unit) and United Nations. Весь контент подкастов, включая эпизоды, графику и описания подкастов, загружается и предоставляется непосредственно компанией UN Global Communications (Digital Solutions Unit) and United Nations или ее партнером по платформе подкастов. Если вы считаете, что кто-то использует вашу работу, защищенную авторским правом, без вашего разрешения, вы можете выполнить процедуру, описанную здесь https://ru.player.fm/legal.
Wakati dunia hapo jana Juni 20 ikiwa imeadhimisha siku ya wakimbizi duniani na wito kutolewa kila kona wa kuhakikisha wakimbizi wanajumuishwa katika masuala yote ya kuweza kuwasaidia kustawi katika nchi wanayopatiwa hifadhi hii leo tunaelekea nchini Ethiopia kujionea namna mradi wa kutoa vitambulisho vya kitaifa ambao unajumuisha wakimbizi na wasaka hifadhi ulivyobadiliasha maisha ya wakimbizi. Makala hii iliyoandaliwa na shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia wakimbizi UNHCR inathibitisha namna mradi huo wa vitambulisho vya kitaifa uliofadhiliwa na Benki ya Dunia umeleta matumaini pamoja na upatikanaji wa ajira kwa wakimbizi na hivyo kuwaondoa katika kundi la watu tegemezi kwani sasa wanaweza kufanya shughuli za kuwaingizia kipato. Leah Mushi anatujuza zaidi.
…
continue reading
100 эпизодов